Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1688370126293.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Price tag ya milioni 20 imepata matumizi mengine kwenye shopping za Tanzania baada ya Duka maarufu la vifaa vya majumbani la ABC Emporio Dar es salaam kuonesha choo kipya cha kukaa kinachouzwa kwa shilingi milioni 20 za Kitanzania.

Ni choo ambacho kinampa Mtumiaji massage wakati anapokitumia, kinamtawaza, kumpa joto kama anahisi baridi pamoja na huduma nyinginezo ambazo Mtumiaji anaweza kuzichagua kwa kutumia rimoti maalum inayokuja na choo hicho.

Meneja Masoko wa Emperio Rashid Ally amemwambia Mwandishi wa @AyoTV_ Paschal Mwakyoma kuwa tayari vyoo vya aina hii visivyopungua vitano vimeshanunuliwa, video nzima kuhusu choo hiki ipo hapa youtu.be/zH-tDsKJyY8
20230703_111555.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom