Pole. Unaweza kufunguka kidogo?Hii kitu inanikumbusha mbali sana, halafu inaniumiza moyo wangu
Hiyo ishu ina miezi karibia mitatu sasa. Hiyo app wana mpango wa kuitelekeza. Kwa sasa itabidi utumie ile nyingine ambayo iko browser-based. Tumeanza kuizoea japo haiizidi ile app ya mwanzo iliyowapa umaarufu.Natumia jamii forum app,ila karibu 80% ya picha hazifunguki,sjui kwangu tu au Kuna mwenye hii changamoto?![]()
Hii ni triple entry unazipiga tatu kwa mfululizo halafu unamalizia na bonge la nyama....Ni sawa tu na kula makande kwa kutumia likijiko likuuuubwaaaa!
Yalikuwa ni masharti ya mganga kutoka Msata ya Galilaya na Kapernaumu 😁
CHA..
Ni mimi huyu huyu bw Shamba😊😊😊🖐️🖐️Ni wewe kweli?
Siamini 😳😳😳🖐🖐🖐
Umepotea mno jamani?Ni mimi huyu huyu bw Shamba😊😊😊🖐️🖐️