Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230702-174639.jpg
 
Natumia jamii forum app,ila karibu 80% ya picha hazifunguki,sjui kwangu tu au Kuna mwenye hii changamoto?
Hiyo ishu ina miezi karibia mitatu sasa. Hiyo app wana mpango wa kuitelekeza. Kwa sasa itabidi utumie ile nyingine ambayo iko browser-based. Tumeanza kuizoea japo haiizidi ile app ya mwanzo iliyowapa umaarufu.
 
Back
Top Bottom