Lobbyists katika nchi za wenzetu wanakuwa registered na lazima waseme kama wanafanya kazi kwa maslahi ya nani na kamwe hawapaswi kufanya lobbying kwa mambo yanayokwenda kinyume na interests za nchi zao maana huo ni uhaini.
DP World angeingia mwenyewe mzigoni kwa kununua matangazo kwenye vyombo vya habari na kuelezea ni kwa nini anataka kuchukua hizi bandari na Watanzania watafaidikaje.
Sasa sisi wasanii wetu uchwara ndiyo wamepata mahali pa kutokea hata kama wanachokipigania ni kinyume na interests na hata uhai wa taifa lao. Yaani sisi bado saaaanaaaa!
View attachment 2674571
View attachment 2674572
*******************************
View attachment 2674573