Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1687768319021.jpg
 
IMG-20230629-WA0006.jpg


Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai.

Profesa nguli Shivji anasema kitendo cha Rais Samia kusaini Mkataba unaoipa Dubai HAKI ZOTE na sisi kubeba WAJIBU WOTE ni kuhamisha mamlaka ya Urais wa Tanzania na kupeleka Dubai. Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Pfofesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!
 
View attachment 2672946

Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai.

Profesa nguli Shivji anasema kitendo cha Rais Samia kusaini Mkataba unaoipa Dubai HAKI ZOTE na sisi kubeba WAJIBU WOTE ni kuhamisha mamlaka ya Urais wa Tanzania na kupeleka Dubai. Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Pfofesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!
Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 2672946

Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai.

Profesa nguli Shivji anasema kitendo cha Rais Samia kusaini Mkataba unaoipa Dubai HAKI ZOTE na sisi kubeba WAJIBU WOTE ni kuhamisha mamlaka ya Urais wa Tanzania na kupeleka Dubai. Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Pfofesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!
Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Pfofesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom