Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mpaka damu ziwatoke masikioni ndo mtaelewa sio....

#kazi iendelee#


Screenshot_20230618-231847~3.png
 
Hoja za watetezi wa Mkataba wa hovyo wa DP world:
“Acheni ubaguzi na udini”
Tunahitaji wawekezaji
Wataongeza ajira na ufanisi ikwemo kuongeza mitambo
Wanaokosoa wana njaa
mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbua
View attachment 2672436

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda utaisha lini?

Kulingana na Albert Einstein ni pale tutakapovuka event horizon na kuingia kwenye black hole....

Sad!
 
Back
Top Bottom