“Acheni ubaguzi na udini”
Tunahitaji wawekezaji
Wataongeza ajira na ufanisi ikwemo kuongeza mitambo
Wanaokosoa wana njaa
mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbuaMuda utaisha lini?Hoja za watetezi wa Mkataba wa hovyo wa DP world:
“Acheni ubaguzi na udini”
Tunahitaji wawekezaji
Wataongeza ajira na ufanisi ikwemo kuongeza mitambo
Wanaokosoa wana njaa
mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbua
View attachment 2672436
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kila mwanaume aliyefanikiwa...
Before you talk, make sure that it is connected 😁