Muda utaisha lini?Hoja za watetezi wa Mkataba wa hovyo wa DP world:
[emoji1428] “Acheni ubaguzi na udini”
[emoji1428] Tunahitaji wawekezaji
[emoji1428] Wataongeza ajira na ufanisi ikwemo kuongeza mitambo
[emoji1428] Wanaokosoa wana njaa
[emoji1428] mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbua
View attachment 2672436
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kila mwanaume aliyefanikiwa...
Before you talk, make sure that it is connected 😁