Hayanaga mwongozo.Ex wangu alinifundisha
kwamba kadiri unavyompa mtu nafasi nyingi ndivyo anavyokuthamini kidogo.
Hawaogopi kukupoteza kwa sababu wanajua hata iweje, hautaondoka.
Kamwe usiruhusu mtu astarehe sana kwa kukudharau. Jipende mwenyewe kwanza.View attachment 2672046
Sent using Jamii Forums mobile app
The butcher of Russia 😬
Hata waliowateua wapige debe nao ni walewaleWasomi wakuu wa sheria wa nchi hii wanasema limkataba lina matatizo halafu eti anaibuka Mwijaku, Ki*enge (na mapoyoyo wenzake) au Steve Nyerere na Mpoto kujaribu kuaminisha umma kwamba mkataba uko poa. Pesa ni mwanaharamu aisee. Kuna watu wanaweza ukatetea hata makimba kuwa yana uturi safi hatari kisa tu wamelipwa
View attachment 2672109