My apology kwa walio/wataksokwazika ni hiyo barua ya jaji.. Imebidi niiweke huku kwa maslahi mapana ya taifa letu lakini pia ni ishara ya taa nyekundu kwamba HAMKANI SI SHWARI TENA!
Asanteni kwa kunielewa
Amepandisha mno kodi. Na bado hela zinafujwa tu na wajanja. Kwenye safari tu za viongozi zimetumika sijui bilioni ngapi tangu aingie serikalini maana nimeona wanamlalamikia.
Ni kama sisi tu. Tozo na kodi kila kona ila zinaliwa na wachache. Hii ndiyo inaumiza na kukasirisha watu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.