Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,158
- 829,103
- Thread starter
- #167,161







Anapata burudani mwenzenu anaenjoy de liboloz na maouting kama yoteWivu wa nini??
Anavyo jidhalilisha??
Ata angekuwa mama yako ungemuacha nyuma chezea uhai weweI swear that on a normal day this woman can’t climb this tree.
Anyway I think the man is worst than what’s chasing them, why take the lead without first ensuring the woman’s safety.
View attachment 2665457
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapata burudani mwenzenu anaenjoy de liboloz na maouting kama yote



pole yake.Wee bwana tako hilo litumie bwanapole yake.
Wanawake wote wanajua kutumia hela, sema hawana uzuri wakuwadatisha wanaume wengi
Uzuri unakuwaje??Wanawake wote wanajua kutumia hela, sema hawana uzuri wakuwadatisha wanaume wengi
Kama alivyo paulaUzuri unakuwaje??
Besty mie mwenzio sina hela ya kuhonga so najiselfie tuu na mlenda vugu vugu