Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ata mie nina iman kali,si lazima uwe taliban, sawa?
Ebu kwanza nicheke mie 🤣🤣🤣🤣 wewe .wenye kutuwekea vituko vya matako mra kuchapiwa hakuepikiki, sijui kushare mbususu hakukwepeki...ndio mwenye imani kali 🤣🤣🤣🤣
Ebu wacheni wataliban wenye imani yao, nyie wengine waigizaji tuu
 
Li whozu nalo kwenda kula mfuta uliowashinda mafisi.
1687438318821.jpg
 
imani ninayo moyoni si ya maandishi hapa bro, mie ni mtu wa imani na nusu
Mwee ndio zenu hizo imani ya moyoni🤣🤣🤣🤣
Imani ya moyoni inadhihirishwa na vitendo, mwendo wako mzima maishani na yale unayo waza, kusema na kuandika.
Msitanie nyie wataliban wana imani kali sio hizo somjo zenu
 
Back
Top Bottom