Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyu namjua. Alikuwa kwenye show ya Botched...episode ya wanawake waliofanya hii mioperesheni ya kujiongezea makalio na matiti....na sasa wanajuta!

Ni muuguzi huko Atlanta na kabla ya hapo alikuwa mtingisha matako kwenye klabu za usiku (stripper) na hiyo ndo ilimfanya ashindilie hizo nyama matakoni. Alisema kuwa ameamua kuziondoa pole pole maana zimeshaanza kumletea matatizo ikiwemo maumivu na lack of sensation mpaka kwenye mbususu...na hapo ndo kwanza anachezea 30s.

mzabzab au Mzee wa kupambania mna maoni gani? Analika au ni too much? 😁😁😁

View attachment 2659326
View attachment 2659344
View attachment 2659345
View attachment 2659347
🤣🤣🤣 Nimecheka sana leo sitaki kuamini mzee wa mistake Shimba ya Buyenze unaomba ushauri kama zigo linalika

Sema nini too much of anything is bad ila akinitunuku napita naye tu
 
Hhahaa nimecheka sana kwamba

🤣🤣🤣 Nimecheka sana leo sitaki kuamini mzee wa mistake Shimba ya Buyenze unaomba ushauri kama zigo linalika

Sema nini too much of anything is bad ila akinitunuku napita naye tu
Afadhali yako.

Imagine mzabzab kabwaga manyanga...ila simlaumu maana hata mimi hapo naona kidogo ni parefu. Sijui kutakuwa na hali gani huko ikulu maana si kwa minyama hii ya bandia 😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
📌📌📌📌📌

Screenshot_20230616_093511_Instagram Lite.jpg
 
Back
Top Bottom