Huyu namjua. Alikuwa kwenye show ya Botched...episode ya wanawake waliofanya hii mioperesheni ya kujiongezea makalio na matiti....na sasa wanajuta!
Ni muuguzi huko Atlanta na kabla ya hapo alikuwa mtingisha matako kwenye klabu za usiku (stripper) na hiyo ndo ilimfanya ashindilie hizo nyama matakoni. Alisema kuwa ameamua kuziondoa pole pole maana zimeshaanza kumletea matatizo ikiwemo maumivu na lack of sensation mpaka kwenye mbususu...na hapo ndo kwanza anachezea 30s.
mzabzab au
Mzee wa kupambania mna maoni gani? Analika au ni too much? 😁😁😁
View attachment 2659326
View attachment 2659344
View attachment 2659345
View attachment 2659347