Mmh



Ukitaka pepo lazima uende maka
Ukitaka kuongea na mungu lazima ujue kiarabu
Malaika wote ni weupe
Mwanaume wa kwanza mzuri alikua mweupe
Adam na hawa walikua weupe
Yesu mweupe kanisa kubwa duniani lipo rome
Vitabu vya dini havitakiw kuhojiwa wala kupingana na neno lolote la kwenye vitabu vyao vya mchongo
kushinda na njaa vitabu vinasema dhambi apo apo mtu ufunge kuanzia asubui hadi jion bila kula
yan ukiwa kwenye dini ni mateso makali unapata hasa kwa mtu mweusi mwenye shobo na dini za watu
Sent using
Jamii Forums mobile app