Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20210613-WA0044.jpg
 
Sidhani kama unaweza ku-justify alichofanya. Kung'oa meno kwa nyundo na kutoboa jicho kwa bisibisi. You can't justify this...Ingekuwa ni vitasa vya kufanya settings zirudi kwenye default pengine japo napo huwa sikubaliani navyo maana unaweza kuishia kuzidisha ukajikuta umeshaua!

Mtu mkishindwana mnaachana tu. Sasa atakula mvua 30+ kisa?

View attachment 2639223
Pengine jamaaa alijisemea potelea pote liwalo na liwege

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom