Mlimbwende huyo kutoka nchini Kenya anayefahamika kwa jina la "Kienyeji Promax" amewaacha watu midomo wazi baada ya kuposti picha hizo akiwa kwenye muonekano wa Kistaa zaidi tofauti na anavyoonekana kwenye video zake zinazotamba huko Tiktok akiwa Kienyeji zaidi.
Mlimbwende huyo kutoka nchini Kenya anayefahamika kwa jina la "Kienyeji Promax" amewaacha watu midomo wazi baada ya kuposti picha hizo akiwa kwenye muonekano wa Kistaa zaidi tofauti na anavyoonekana kwenye video zake zinazotamba huko Tiktok akiwa Kienyeji zaidi.
๐คข๐คข๐คข๐คข๐คข๐คข๐คฎ๐คฎ๐คฎ๐คฎ๐คฎ๐คฎ Aaah we hapana aisee nitake radhi mkuuuu yangu ni haya ๐๐๐๐๐๐๐๐View attachment 2623159