Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Hao wawili si mpaka wapendane sasaNi kweli...
98 yrs bila miwani wala mkongojo.
Mungu Aendelee kumlinda Mzee Rukhsa. Alituokoa na kuvaa magunia enzi zileee....
Waziri wa kwanza na pengine pekee kuwajibika kwa kujiuzulu yalipotokea makosa katika wizara yake....
Na wake wawili ndo mpango mzima![]()

Takbiiiiirrr
7
Man city vs madrid mkuuu uefa firzt leg hiyo 😁😁😁 tukichomoa tuna uhakika wa kubeba treble msimu huuuLeo kuna nini? 😳
Haina utamu. Kwanza inafanya de libolo lisidinde, kwa sie vibamia zinatupwaya bwana
Huyu mzee ni mkweli kabisa.Mzeee mwinyi anasema siri ya kuishi miaka mingi ni kuowa WAKE WAWILIanasema mke mmoja anasababisha presha ,sukari na ugonjwa wa akili
.....VIJANA FANYENI RESERCH YA jambo hiliView attachment 2615120