Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20230509_070334_Instagram Lite.jpg
 
Ni kweli...

98 yrs bila miwani wala mkongojo.

Mungu Aendelee kumlinda Mzee Rukhsa. Alituokoa na kuvaa magunia enzi zileee....

Waziri wa kwanza na pengine pekee kuwajibika kwa kujiuzulu yalipotokea makosa katika wizara yake....

Na wake wawili ndo mpango mzima
Hao wawili si mpaka wapendane sasa
 
Back
Top Bottom