Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

5568f0ec3bd20970e64fc293fe2ad642.jpg
 
Mchungaji Paul Mackenzie Ambaye Aliwashauri Waumini Wa Dhehebu Lake Kufunga Mpaka Kufa Ili Waweze Kufika Mbinguni Siku Ya Jana Ameilalamikia Mahakama Kua Amekua Akinyimwa Chakula Na Baadhi Ya Watu Wake Wamekua Wakipigwa!!

View attachment 2612223
Wanakufagiĺia njia ya kwenda peponi utakuja kuwashukuru ukifika mbinguni
 
Mchungaji Paul Mackenzie Ambaye Aliwashauri Waumini Wa Dhehebu Lake Kufunga Mpaka Kufa Ili Waweze Kufika Mbinguni Siku Ya Jana Ameilalamikia Mahakama Kua Amekua Akinyimwa Chakula Na Baadhi Ya Watu Wake Wamekua Wakipigwa!!

View attachment 2612223

Kwani yeye hataki kufika mbinguni?
Dunia ina mambo
 
NIGERIA- Mwanamke mmoja amejikuta akibaki na majuto baada ya mume mtarajiwa kuvunja harusi yao kutokana na dada huyo kumpelekea kadi ya mwaliko mpenzi wake wa zamani 'Ex'

Mume mtarajiwa aligundua kuwa mwanamke wake alimtembelea mpenzi wake wa zamani siku chache kabla ya ndoa yao baada ya kufanya udukuzi wa simu yake.

Baada ya kugundua hilo alitangaza matayarisho ya harusi hiyo yasitishwe mara moja.

Akiomba ushauri mwanamke huyo amesema "Mbele yangu, aliwaita wazazi wote wawili na kuwataka wasitishe maandalizi yote ya harusi. Walipouliza kwanini, aliwaambia nitaeleza vizuri zaidi baadaye.''

FB_IMG_1683393337656.jpg
 
Back
Top Bottom