Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Viberiti virudi
Screenshot_20230414_085827_Instagram.jpg
 
MARCO MATERAZZI AELEZA SABABU YA ZIDANE KUMPIGA KICHWA

Marco Materazzi amefichua alichomwambia Zinedine Zidane kwenye tukio la kihistoria katika Kombe la Dunia la 2006 nchini Ujerumani

Katika dakika 10 za mwisho za mashindano katika mechi ya fainali kati ya Ufaransa na Italia kwenye muda wa ziada na matokeo yakiwa 1-1, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa wakati wote, Zinedine Zidane, alioneshwa kadi nyekundu baada ya kumpiga Marco Materazzi kichwa

kwenye mahojiano na IFTV, ya Italia Materazzi amefichua kile alichosema kwa Zidane.

"Zidane aliniambia Atanipa jezi yake baada ya mechi Nikasema 'hapana, napendelea dada yako'."

Je Ungekuwa wewe ungevumilia
FB_IMG_1681531138139.jpg
 
Maturity is about patience and avoiding a victim mindset.

People who are mature take extreme ownership of their situations and put in the work to be successful.

But they don't expect things to materialize right away. They give it time.
 
Back
Top Bottom