Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16802441497750336.jpg
 
Kampuni ya kutoa Mikopo kwa Njia ya Mtandao ya #WhitePathLTD, imepigwa faini ya Ksh. 495,614 sawa Tsh. Milioni 8.6 kwa madai ya kuingilia na kutumia taarifa binafsi za wateja kufuatilia wadeni wake.

Ofisi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ilisema ilipokea takriban malalamiko 150 dhidi ya kampuni hiyo ikidaiwa kuwapigia simu ndugu na jamaa wa wadeni wao wakiwataka kuwakumbusha kulipa madeni.

Wafanyakazi wa Kampuni hiyo pia walishutumiwa kwa kuwanyanyasa na kuwatukana walalamikaji na marafiki zao kupitia namba za simu zilizopo katika nyaraka zao za kujiunga katika huduma hiyo.
 
Back
Top Bottom