Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ki tecno sio kisamsung
IMG_20230325_170430_180.jpg
 
" Kitendo anachokifanya cha Kuweka Video za Wanawake Wakiwa Katika Mavazi yasiyo na Stara na Kuwashika shika ni utovu wa Nidhamu na Kutouheshimu Mwezi Mtukufu wa Ramadhan"

"Harmonize Alijinasibu kuwa Baba yake ni Sheikh huko Mtwara na Anaijua Dini Vizuri kwanini anaendelea kufanya Vitendo kama hivyo, Hauheshimu Mwezi wa Ramadhan Kama hautaki Uislamu aondoke aende anapopataka na sio Kuendelea kuuaibisha Uislamu"

Baadhi ya Wakristo tunaoishinao majumbani wanauheshimu sana Mwezi wa Ramadhan Huwezi kukuta Mkristo anakula Hadharani Kwa jinsi wanavyoheshimu Imani za wenzao " Sheikh Sharifu Majini

FB_IMG_1681280763822.jpg
 
Back
Top Bottom