Hapo Manundu hayachezi mbali
Akufukuzae hakuambii chochote..Hii hatari kabisa
Mie hapo naona ata dakika mbili sifikifishi...sekunde 30 wadhungu haooo



Ukisikia mtu mzima kutoa chozi ndo apo sasaHapa wazungu watake wasitake lazima washuke na mabegibegi yao yote dadeq
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app