Mungu wanguDume hilo limejibadili kua jike...
View attachment 2567099




Kuna ndugu yetu aliwahi kuambiwa mbona kama una mimba akasema tuna msingizia tukamwambia haya. Miezi 7 baadaye aikabidi amfate maza anamwomba msamahaAfande Ramadhani Ali jana Machi 20 alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza akikabiliwa na mashtaka mawili, Kurusha maudhui ya kingono mtandaoni na kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile. Mshtakiwa aliyakana mashtaka yote akidai kuwa sio yeye, Kesi imeahirishwa mpaka tarehe 4 mwezi ujao.View attachment 2567109
Mpwayungu villegeDume hilo limejibadili kua jike...
View attachment 2567099
Mbona yupo kwenye mwendokasi peke yake.

Kuacha uchawi nasikia huwa ni ngumu sana. Usharudi kilingeni tayari?
Chap hawana mda wa kupoteza 😂😂😂
Wanamsingizia sana brazzer rama 😂😂Afande Ramadhani Ali jana Machi 20 alifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza akikabiliwa na mashtaka mawili, Kurusha maudhui ya kingono mtandaoni na kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile. Mshtakiwa aliyakana mashtaka yote akidai kuwa sio yeye, Kesi imeahirishwa mpaka tarehe 4 mwezi ujao.View attachment 2567109