Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
FB_IMG_16795693912442788.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepokea Malalamiko toka kwa wananchi Kanda ya ziwa.Nawaahidi Kila nitakapofanya Kampeni zangu nitahakikisha kutakua na Ugali wa Nguvu na Samaki, Nyama za kutosha ili watu wanaotoka kanda hizo pia waweze pata chakula wasitaabike na wali nyama
-Hashim Rungwe Mgombea Uraisi CHAUMA
20230323_132545.jpg
 
Back
Top Bottom