Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

da4dfb970c3e00d1df587eae22f73538.jpg
 
Jimmy Carter Rais wa Marekani ambaye ameishi Muda mrefu kuliko wote na ambaye ana Miaka 98 sasa, amemuomba Rais Joe Biden asome wasifu wake siku ya Mazishi yake. Mwezi Uliopita Rais Carter, alichagua kutoendelea na matibabu hospital bali kukaa nyumbani mpaka mwisho wa Maisha yakeView attachment 2554750
Vipi kama akitangulia Biden kufa, maana ya MUNGU mengi
 
Back
Top Bottom