Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Menziwa's students are known for their excellent academic performance, with perfect attendance and top grades.
Mwalimu kama huyu kweli utakosa kwenda shule na kujitahidi ili usionekane boya? Na kwa vile anafundisha shule ya wavulana ndo kabisaa!


JamiiForums1684597233.jpg
Screenshot_20230317_070440_Instagram.jpg
Screenshot_20230317_073003_Instagram.jpg
Screenshot_20230317_073015_Instagram.jpg
 
Anaadhabu yake Motoni uyu
Mimi nadhani ni mgonjwa wa akili. Labda ndiyo masharti aliyopewa na hao waliompa hizo nguvu anazotumia kulaghai watu.

Kabla serikali haijamshtukia mara ya kwanza alikuwa na wafuasi wengi. Akipita lazima wafuasi wake wajipange huku na huku wakimsujudia na inasemekana alikuwa/ana uwezo wa kutenda miujiza (kuponya wagonjwa na kufungulia wenye matatizo). Watu wanasafiri kutoka huko walikotoka na kwenda kukaa kwake. Ndiyo maana kwenye hii kesi ya mwisho serikali ilimshikilia kwa kosa la human trafficking.

Jamii yetu hii ina matatizo makubwa na ukijifanya unatenda vimiujiza basi utapata wafuasi kweli kweli.
Screenshot_20230317_074423_Chrome.jpg
Screenshot_20230317_074503_Chrome.jpg
 
Mimi nadhani ni mgonjwa wa akili. Labda ndiyo masharti aliyopewa na hao waliompa hizo nguvu anazotumia kulaghai watu.

Kabla serikali haijamshtukia mara ya kwanza alikuwa na wafuasi wengi. Akipita lazima wafuasi wake wajipange huku na huku wakimsujudia na inasemekana alikuwa/ana uwezo wa kutenda miujiza (kuponya wagonjwa na kufungulia wenye matatizo). Watu wanasafiri kutoka huko walikotoka na kwenda kukaa kwake. Ndiyo maana kwenye hii kesi ya mwisho serikali ilimshikilia kwa kosa la human trafficking.

Jamii yetu hii ina matatizo makubwa na ukijifanya unatenda vimiujiza basi utapata wafuasi kweli kweli.
View attachment 2554731View attachment 2554732

Jamii hasahasa wakinamama ndo huwa rahisi sana kudanganyika. Asijewachoma tu moto kama yule mchungaji wa Uganda maana uko kumwamini naona kunapitiliza.
 
Jamii hasahasa wakinamama ndo huwa rahisi sana kudanganyika. Asijewachoma tu moto kama yule mchungaji wa Uganda maana uko kumwamini naona kunapitiliza.
Akina mama ndiyo victims wa kwanza. Huoni hapo walivyobong'oa na kusujudu mungu wao mfalme akipita? Akina mzabzab na Mzee wa kupambania sidhani hata kama wangeweza kuabudu na kufuatilia ibada sawasawa baada ya hapo
 
Jimmy Carter Rais wa Marekani ambaye ameishi Muda mrefu kuliko wote na ambaye ana Miaka 98 sasa, amemuomba Rais Joe Biden asome wasifu wake siku ya Mazishi yake. Mwezi Uliopita Rais Carter, alichagua kutoendelea na matibabu hospital bali kukaa nyumbani mpaka mwisho wa Maisha yake
20230317_075652.jpg
 
Akina mama ndiyo victims wa kwanza. Huoni hapo walivyobong'oa na kusujudu mungu wao mfalme akipita? Akina mzabzab na Mzee wa kupambania sidhani hata kama wangeweza kuabudu na kufuatilia ibada sawasawa baada ya hapo
kama huyu kajiachia kabisa apo mpiga picha nahisi alilenga kukaa angle hyo.

Wanaume uwa wagumu kudanganywa danganganywa ovyo tofauti na wanawake ambao wengine wanaenda waombewe wapate mume,wengine stress za vicoba wanajikuta wanajazana uko.
IMG_20230317_075653.jpg
 
Boy's school
Hapo lazima wafaulu tuu maana kila leo unawahi shule ili uone msambwanda.

Inanikumbusha mie mwalimu wangu wa english, alikuwa na matiti mazuri na wakati huo mzabzab sijambukkzwa ugonjwa wakuoenda tako. Basi dah kila nikiwaza yale matiti lazima niwahi kwenda shule na somo lake nilifaulu vizuri sana. Although i have to admit she was an excellent teacher apart from her beauty
 
Back
Top Bottom