No 7 Marehem Tupac alisemaUkweli wa Maisha
Ukweli nambari 1:
Hakuna mtu halisi katika ulimwengu huu isipokuwa Mama.
Ukweli no. 2:
Masikini hana marafiki
Ukweli Na. 3
Watu hawapendi mawazo mazuri wanapenda sura nzuri
Ukweli no 4:
Watu wanaheshimu pesa sio mtu.
Ukweli no 5:
Mtu unayempenda zaidi, atakuumiza zaidi!
Ukweli nambari 6:
Ukweli ni Rahisi, Lakini, Wakati unajaribu Kuuelezea. Inakuwa Ngumu.
Ukweli no 7:
Ukiwa na furaha unafurahia muziki" lakini "unapokuwa na huzuni, unaelewa maneno"
Ukweli no 8:
KATIKA MAISHA Mambo mawili yanakufafanua "
subra yako" wakati huna kitu na "Mtazamo wako" wakati una kila kitu..
Kataa ndoa hapa itapata sababuNgomb'e umemlipia ndani unamuhudumia na kumwaga unapangiwaView attachment 2528695



20 of them were dead.
7 were widows/widowers,
13 were divorced.
10 turned out to be drug addicts.
5 came out so poor that nobody could even connect with them.
6 turned out to be so rich that he couldn't believe it.
Some were cancerous,
some were paralyzed,
some were diabetic,
some asthmatic,
sone heart disease patients.
A couple of them were in bed with injuries to the arm/leg or spinal cord.
The children of some had turned out to be insane, vagabonds, etc.
"
he had no disease,
he was not starving,
his mind was perfect,
he was not unlucky.
He was lucky that his wife and children were very good and healthy.
He was also healthy, he could afford three meals daily.
His challenges paled in significance to that of others.

Where are your classmates
A 60 year old gentleman was suffering from deep depression and his wife booked an appointment with a counselor.
The wife said...
"He is in severe depression, please see to it.."
The Counselor began his counseling by asking some personal things while the gentleman's wife sat outside.
The gentleman spoke, and it went this way;
“I am too much worried. Infact, I am overwhelmed by worries - family issues, job pressure, friends, children's education, and job tension, mortgage loan, car loan, etc. I have lost interest in everything that I use to like. The world thinks of me as a cannon, they think I have everything, but I don't have as much stuff as even cartridge. I am very depressed..”
Then the learned Counselor asked him, "which secondary school did you attend."
The gentleman told him the name of the school.
The counselor said,
I want to advise that you go to that school.
When you get to the school, locate your 'Class register’ if it is still there, look up the names of your peers and try to get information about their current well being.
Write down all the information you get about them and meet me after a month..
The gentleman went to his former school, found the register, and copied every name in it.
There were 120 names in all. He tried day and night throughout one month, but was barely able to collect information on about 75-80 of his classmates.
Surprise results ..![]()
20 of them were dead.
7 were widows/widowers,
13 were divorced.
10 turned out to be drug addicts.
5 came out so poor that nobody could even connect with them.
6 turned out to be so rich that he couldn't believe it.
Some were cancerous,
some were paralyzed,
some were diabetic,
some asthmatic,
sone heart disease patients.
A couple of them were in bed with injuries to the arm/leg or spinal cord.
The children of some had turned out to be insane, vagabonds, etc.
One was in jail.
One person after two divorces was seeking for a third marriage.
The counselor asked:-
"Now tell me how is your depression"
The gentleman understood that
he had no disease,
he was not starving,
his mind was perfect,
he was not unlucky.
He was lucky that his wife and children were very good and healthy.
He was also healthy, he could afford three meals daily.
His challenges paled in significance to that of others.
That gentleman realized that, there's really a lot of sorrow in the world, and that he was very happy and lucky.
Leave the habit of peeping into other people’s plates (peoples fortune or misfortune), take the food on your plate with love.
Don't compare your life with others.
Everyone is moving according to his or her destiny, you are neither late nor early.
![]()








Hii ni ya muda sana!Anaandika Goliath Mfalamagoha
_
Boniface Murage, mkazi wa Embakasi, Nairobi nchini Kenya, amekuwa gumzo katika vyombo vya habari Afrika Mashariki baada ya kukamatwa akijaribu kumtorosha mwanae Hospitali kwa kushindwa kulipia gharama za matibabu.
Murage alishindwa kulipa Shilingi 56,000/= za Kenya (sawa na 1.3 milioni za Tanzania), ambazo ni bill ya mtoto wake aliyepatiwa matibabu hospitali ya Kenyatta.
Gharama hizi ni kubwa sana kutokana na uhalisia wa hali yake ya kiuchumi na hivyo akaamua kumtorosha mtoto wake kwa kumficha kwenye Begi.
Askari walipofungua begi walimuona mtoto. Murage akakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Jumanne February 19 mahakama ilimkuta na hatia na kumhukumu kifungo cha nje cha miezi mitatu na kutakiwa kulipa gharama hizo.
Tukio hili limegusa hisia za watu wengi nchini Kenya, na baadhi walijitokeza kumuwekea dhamana, na wengine kumlipia gharama za mawakili.
Gavana wa Nairobi Mike Sonko amelipia gharama zote za hospitali na amemfanyia shopping mtoto huyo ya mahitaji yake muhimu ikiwemo nguo, chakula na vifaa vya kuchezea. Pia amempa Murage offer ya kazi ili aweze kutunza familia yake.
Mbunge wa Embakasi mashariki Babu Owino amempatia Murage KSH 200,000/= (sawa na 4.5Milion za Tanzania) kama alivyoahidi siku Murage anakamatwa.
Mkuu wa Polisi Embakasi SSP Tamo Sanaiet alifika hospitali kulipa bill lakini akaambiwa Sonko ameshalipa. Hivyo akamtafuta Murage na kumkabidhi KSH 56,000/= ambazo angelipa hospitali. Pesa hizo ni mshahara wake.
Kuna mengi ya kujifunza katika kisa hiki cha Murage. Lakini kwa uchache;
Mosi ni namna kina baba wanavyohangaika ili kutunza familia zao. Hujui anapitia mangapi kuhakikisha mnakuwa salama. Anapitia mangapi kuhakikisha mnapata chakula. Anapitia mangapi kuhakikisha bili zinalipwa. Anapitia mangapi kuhakikisha mnasoma. Anapitia mangapi kuhakikisha mnakuwa na afya bora.
Pili, haijalishi unapitia magumu mangapi, usikate tamaa. Hali yako ya sasa ni ya muda tu. Ipo siku itatoweka, na hutabaki kama ulivyo. Pengine jaribu lako ndio njia ya kukufikia mafanikio yako. Murage hakujua kama kitendo cha kumtorosha mwanae kingebadili kabisa maisha yake. Mungu hufanya njia pasipo na njia.
Tatu; ni suala la umoja wa kitaifa. Ukiona namna jamii ya wakenya walivyoguswa na tukio hili utaamini katika umoja ninaousemea. Ukianza na wanasiasa waliomsaidia ambao wanatoka vyama hasimu, Babu Owino (NASA) na Sonko (Jubilee) lakini waliweka tofauti zao pembeni. Hapa kwetu kuna Waziri alitamka hadharani kuwa hawezi kumsaidia binti mmoja mgonjwa kwa sababu anayekusanya michango hiyo ni kiongozi wa Chadema. Kenya siasa ni diversion za maendeleo, but kwetu siasa ni uadui.
Pia kitendo Afisa wa Polisi kuamua kutoa mshahara wake kumpa Murage ni ishara kwamba utu ni tunu muhimu kwa wakenya. Polisi haohao waliomkamata na kumpandisha kizimbani ndio wanatoa hela wanampa. That means walimkamata tu ili kukidhi matakwa ya kisheria. Wakaiacha sheria ichukue mkondo wake, lakini haikuwaondolea ubinadamu wa kumsaidia.!
Tizama hii nayo ucheke ufe View attachment 2528807





Anna wa bungoma anasomesha watu katiba 
yupo serious mpaka kawatafutia mafahari wawili watoto..