M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 6,569
- 15,705
.
I wish, lakini hakuna sababu .We mpole sana![]()
Inauma ban kimtindo,,
Wakuonjeshe basi hata ya siku 3
Sina hakika sana na kauli ya mtu aliye hai, ifanye kazi wakati hayupo hai.Asante Shimba,
Hapana, japo umauti haukumkuta hapo Muhimbili.
Msiba unaendeshwa kutokana na desturi na mila za namna koo/kaya/kabila zilivyo.
Japo kuna koo/familia huiga namna ya kuendesha misiba yao kuinesha hadhira walivyo au kuficha aibu....
Kwenye chakula, bibi mmoja alishawahi niambia, chakula ni agano. Mara nyingi hufanyika pale watu wanapoagana, aidha kuna furaha/kusherehekea au huzuni.
Nayo inategemea mila za kila kaya/familia.
Najaribu kuwaza mtu uache wosia kwamba nikifariki kwenye msiba wangu pasipikwe wala kununuliwa chakula, bali watu wataokuja kufariji ndugu zangu wanywe maji tuu.....
Jee watakutii maana hutakuwa na namna ya kudhibiti....
Na watu wanakaa kabisa kamati ya maandalizi ya msiba, michango inakisanywa kama harusi, wengine mpaka sare, msiba ukiisha wanawaacha wafiwa na upweke wao...
Sina hakika sana na kauli ya mtu aliye hai, ifanye kazi wakati hayupo hai.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ndo huyu wa kimoja chali?
Mie nitafutie cha mfadhili
Tena unahema huku ukiapia hutorudia tena 😀Kwa Ke akiwa jamaa ambae hajamuelewa ni kufunga na kusali isiwe imetungika.....
Mgao wa mwezi ukipita anahema aaahhhfuuuuu....🤣🤣🤣🤣🤣
Kimeandikwa na nani?Mie nitafutie cha mfadhili
Nenda kwenye huu uzi. Wanaweka Riwaya za Kiswahili huko. Niliviona mahali lakini inabidi nilipie. Bado napambana jinsi ya kuvipata....
Hussein TuwaKimeandikwa na nani?
Olelai na onyieriMizizi ya nini hiyo