Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ogopa hao watu wachache hapo juu
FB_IMG_16097027050775214-1.jpg
 
Kifo kikija kinakuja. Unaweza kufa kiajabu ajabu tu.

Je, tunaweza kukiahirisha?

Kuna faida yo yote ya kukiahirisha?

View attachment 2522507

Kifo kinatisha...

Kifo kinaogopesha...

Kifo hakizoeleki....

Kuna mwaka nilikuwa nauguza mgonjwa hospitali ya Muhimbili, nilikuwa nashinda pale siku nzima naondoka saa tano au sita usiku kila siku....

Nilikonda haswa.

Hilo gari/machela inayobeba maiti kutoka wodini kwenda mochuari ni ya bati sasa ikiwa inatembezwa kwenye zile korido, unajua tuu tayari kuna mtu kesharudisha namba.

Ilikuwa inanipa taswira na fikra mbaya kila nikisikia muungurumo wa matairi wa machela ya bati.....

Sijui kwanini hawabuni namna ya kubeba marehemu kimya kimya kwa namna ambayo kama mtu haangalii hawezi jua kama maiti inapelekwa mochuari.....😔😔.
 
Kifo kinatisha...

Kifo kinaogopesha...

Kifo hakizoeleki....

Kuna mwaka nilikuwa nauguza mgonjwa hospitali ya Muhimbili, nilikuwa nashinda pale siku nzima naondoka saa tano au sota usiku kila siku....

Nilikonda haswa.

Hilo gari/machela inayobeba maiti kutoka wodini kwenda mochuari ni ya bati sasa ikiwa inatembezwa kwenye zile korido, unajua tuu tayari kjna mtu kesharudosha namba.

Ilikuwa inanipa taswira na fikra mbaya kila nikisikia muungurumo wa matairi wa machela ya bati.....

Sijui kwanini hawabuni namna ya kubeba marehemu kimya kimya kwa namna ambayo kama my haangalii hawezi jua kama maiti inapelekwa mochuari......
Pole.

Mgonjwa wako alipona?

Kifo kwa hakika ni kiboko chetu sisi tuliozaliwa.....

Jamaa wanakusanyika wa wanakula na kunywa halafu wewe wanakuzika ardhini dah!

Ilikuwa lazima iwe hivi?
 
Back
Top Bottom