Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1676000601144.jpg
 
Huwa inatokea wanakufa. Huyu hapa alikufa na muuaji wake alifungwa miaka 10 japo baadaye ndugu wa binti walimsamehe na kuomba aachiliwe huru. Japo maelezo ya daktari yalisema kuwa binti alivunjwa koromeo lakini kijana alisema kuwa anaamini hakutumia nguvu sana japo anakiri kuwa walifikia mshindo kwa wakati mmoja na yawezekana katika pilika pilika hizo ndipo ajali hiyo ilipotokea.

Alitumikia kifungo cha miaka miwili akatoka gerezani....
Screenshot_20230213-095951_Telegram.jpg
 
Back
Top Bottom