Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Halafu ilikuwa kodi ya kumpa mwenye nyumba, umeidunduliza miezi sita


WTF!🤣🤣🤣🤣 one ya fckn 26!?DAMN!!
Huwezi jua kapitia/kakumbuka nini usikute apo ni machozi ya furaha akikumbuka maneno ya waja uko nyuma.
Wazee wa madili hao achana naoKatika maisha mara nyingine hutakiwi kuwa smart sana, kuna mifala ina make sana kwa vitu vya kitoto toto.
Hivi Masanja mkandamizaji ana lipi la maana?
Sent using Jamii Forums mobile app