Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mbunge atimiza ahadi ya kutoa kengele shuleni
IMG-20230201-WA0185.jpg
 
MILIONI KWA SIKU UHAKIKA KWENYE CASINO UKICHEZA HIVI.


JINSI YA KUCHEZA..

Mchezo unatakiwa kua na option mbili (machaguo mawili) hapa kwenye hii jupita bet tuta deal na HEAD AND TAIL mchezo wa shilingi ambao unachagua either head or tail then una spin

Ikitokea umepatia unapata mara mbili ya dau lako yaani kama ukiweka buku maana yake unapata buku mbili.

Deal na option moja tu! Kama ni tail au head.

head ni 50% alaf tail ni 50% hivyo pande zote mbili zina nafasi karibu sawa .

Hivyo kama utaweka HEAD yaani

HEAD mara ya kwanza
HEAD mara ya pili
HEAD mara ya tatu
HEAD mara ya nne

Kwenye mara hizo nne kuna zaidi ya asilimia 100 head hutoa walau mara moja

UNAPIGA VIPI PESA


Round ya kwanza
chagua HEAD

Ukikosa
=>hasara ni buku mbili (-2000)

Raundi ya pili
HEAD ila safari hii una weka mara mbili yaani (4000)

umekosa tena...
=>Hapo hasara ni (2000+4000=6000)

Mara ya tatu tena HEAD kawaida double weka 8000


Ume tumia(2000+4000+8000=14000) wewe una 16000 faida 2000

Ikitokea ya tatu haija toa unaenda ya nne ambayo ndio ya Mwisho hapo ni mara mbili ya 8000 ambayo ni 16000
Unatoa 32000

Ukitumia (2000+4000+8000+16000= 30000) wewe una 32000 faida 2000

Hapa sasa ni wewe na pumzi yako kuzipiga hizo buku 2000 kwa siku


Casino ninayo tumia www.jupitacasino.site

Kazi kwako ..
Mjomba hii inaitwa "martingale strategy" inabidi uwe na roho ya chuma hasa! Kipindi nikiwa 'mkamaria' haswa niliwahi kuitumia hii njia, aisee Kuna siku roho nusu iachane na mwili

Nilikua nafanya kama unavyosema, ukishinda unaanza tena na dau la kwanza, aisee Kuna muda nikaanza buku ikapigwa, nikadouble ikapigwa, mwanangu nililiwa mpaka 526,000/= bila kubadilisha option, ilikua roulette nilikua nacheza red tu na zilikua red na black kama option

Kwa kifupi hakuna njia ya uhakika kupata pesa kwenye betting, ingekuepo 100% guarantee watu wasingefanya kazi Mzee, kifupi hapo unapunguza probability ya kuliwa tu


Ila we endelea ipo siku utakipa!! Retired gambler!!!
 
Back
Top Bottom