Mashabiki hawa wa Arsenal nchini Uganda wameachiliwa huru kufuatia kukamatwa kwao baada ya kusherehekea ushindi wa hivi majuzi wa klabu hiyo dhidi ya Manchester United. Polisi walisema hawakuwa na kibali cha kufanya maandamano hayo ambayo ni kosa la amri ya umma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.