Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20230125-WA0012.jpg
 
Leo vipi?

Mie kuchaji simu,kufuta sms/call ni mvivu mbaya,

Kama hivi mama anayo kazi ya kunichajia usiku,au ananiambiaga chaji simu View attachment 2494593
Hatimaye...hapo sasa safi,hata macho yameona kitu tofauti leo, endelea kumimina vituko tu,jitahidi uwe unachaji mwenyewe bana,acha kumsumbua mama wa watu,,au ndio ma last born mnaozungumzwa humu kila siku?
 
Back
Top Bottom