Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,775
- 257,515
😂😂😂😂 tunavumiliana yeye hana hela itakuwaje sasa!!Upunguze maringo View attachment 2494403
😂😂😂😂 tunavumiliana yeye hana hela itakuwaje sasa!!Upunguze maringo View attachment 2494403
Babu nilijua umesahau,naweza nuniwa mie[emoji16]Marahaba mjukuu. [emoji3590]
Hakikisha unaniaga kule....
Vinginevyo bifu lake halitakaa liishe!
Rwanda hatutaki watu wafupi wataharibu generation yetu mpelekeni Congo.Harmonize rasmi ni MnyarwandaView attachment 2494375
[emoji120][emoji120]Marahaba kipenzi.
Kwema huko Njombe Mgendera?
Hevu e byutifu dei [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hatimaye...hapo sasa safi[emoji122],hata macho yameona kitu tofauti leo, endelea kumimina vituko tu,jitahidi uwe unachaji mwenyewe bana,acha kumsumbua mama wa watu,,au ndio ma last born mnaozungumzwa humu kila siku? [emoji3][emoji3][emoji3]Leo vipi?
Mie kuchaji simu,kufuta sms/call ni mvivu mbaya[emoji23],
Kama hivi mama anayo kazi ya kunichajia usiku[emoji7],au ananiambiaga chaji simu [emoji16]View attachment 2494593
Sasa mtu kama huyu anatafuta fantasy gani sasa?mwishowe ajitoboe kizazi
Ahsante[emoji7]Hatimaye...hapo sasa safi[emoji122],hata macho yameona kitu tofauti leo, endelea kumimina vituko tu,jitahidi uwe unachaji mwenyewe bana,acha kumsumbua mama wa watu,,au ndio ma last born mnaozungumzwa humu kila siku? [emoji3][emoji3][emoji3]