Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,773
- 256,795
😂😂😂😂 tunavumiliana yeye hana hela itakuwaje sasa!!Upunguze maringo View attachment 2494403
😂😂😂😂 tunavumiliana yeye hana hela itakuwaje sasa!!Upunguze maringo View attachment 2494403



Babu nilijua umesahau,naweza nuniwa mieMarahaba mjukuu.
Hakikisha unaniaga kule....
Vinginevyo bifu lake halitakaa liishe!

,Rwanda hatutaki watu wafupi wataharibu generation yetu mpelekeni Congo.Harmonize rasmi ni MnyarwandaView attachment 2494375
Marahaba kipenzi.
Kwema huko Njombe Mgendera?
Hevu e byutifu dei![]()


Hatimaye...hapo sasa safiLeo vipi?
Mie kuchaji simu,kufuta sms/call ni mvivu mbaya,
Kama hivi mama anayo kazi ya kunichajia usiku,au ananiambiaga chaji simu
View attachment 2494593
,hata macho yameona kitu tofauti leo, endelea kumimina vituko tu,jitahidi uwe unachaji mwenyewe bana,acha kumsumbua mama wa watu,,au ndio ma last born mnaozungumzwa humu kila siku? 


Sasa mtu kama huyu anatafuta fantasy gani sasa?mwishowe ajitoboe kizazi
AhsanteHatimaye...hapo sasa safi,hata macho yameona kitu tofauti leo, endelea kumimina vituko tu,jitahidi uwe unachaji mwenyewe bana,acha kumsumbua mama wa watu,,au ndio ma last born mnaozungumzwa humu kila siku?
![]()

