Mwanza hupawezi....Iweke [emoji1787]
Niende nikale ugali mgumu
Na nijifunze adabu ya kuzidi
Ni nani huyu mkuu?Huyu jamaa abarikiwe kwa kweli.View attachment 2485141
Kupatwa kwa slei kwini [emoji16]
Jamaa fulani mtafsiri wa filamu , dj mack anaitwa nadhani.Ni nani huyu mkuu?
If you don't gerrit forgera abourit [emoji16]
Kama kweli pole yao wadada!