The Dictator
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 4,332
- 11,789
Hahahaa!!Kitomari
Kuna mtu huku mvua ikinyesha sana
Anasema Kitomari ana sifa
Sijui kashiba Loshoroo na kande
KweliHahahaa!!
Huo ukorofi sasa
Kiasi ni 50,000
Ndugu zake ambao yupo nao bandani uwezo wao ni desibel ngapi au ndiyo ameshawasababishia uziwi tayari
Nini hichi mkuu?
Umekaa sana Chuga inabidi uhame sasa. Mpaka umejua majina na mila za Wachaga in details hivi. Next stop: Bukoba au Musoma!Kweli
Mvua ikinyesha ile inakuwa inakatika kqma haikatiki, ni Kitomari
Ikinyesha na jua ni Mbise
Ikinyesha na upepo ni Palanjo sijui Palangyo![]()

Mamende makubwa yanayoruka kwa kweli ni noma sana. Hata sijui kwa nini yaliumbwa yaani



Ngoja niwaulize washili(wazee) wa kimeruKweli
Mvua ikinyesha ile inakuwa inakatika kqma haikatiki, ni Kitomari
Ikinyesha na jua ni Mbise
Ikinyesha na upepo ni Palanjo sijui Palangyo![]()