Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Mimi huwa nashangaa kuna uhusiano gani kati ya mwonekano wa mtu na tabia?Malaya waliokubuhu.......mkisogea kwenye kichaka tu anainama, kinachofuata sijui!!
Mimi huwa nashangaa kuna uhusiano gani kati ya mwonekano wa mtu na tabia?Malaya waliokubuhu.......mkisogea kwenye kichaka tu anainama, kinachofuata sijui!!
Waziri anaupiga mwingi sanaView attachment 2472917
hii swali naomba tumpe Mshana JrMimi huwa nashangaa kuna uhusiano gani kati ya mwonekano wa mtu na tabia?
Kikubwa nilichokiona kwa huyo dada ni rangi ya nywele na hiyo aliyochora sasa najaribu kuvihusianisha na umalaya sipati jibuhii swali naomba tumpe Mshana Jr
ila kwangu mimi naweza sema "watu hutenda na kubehave vile wanavyovifikiria mostly of the time"
kama unawaza sana biashara iko siku utajishtukia umeanzia mojawapo na uta act as a business person
kama unawaza pombe utainywa tu
kama unawaza ngono there you go......
likewise to every things huwa unawaza itacreate desire........desire itacreate msukumo wakukifanya + behaviour etc
Angalia hiyo picha ya huyo mdada nambiye anawaza nini??
Hahaha..
wewe waweza kupaka hivyo?Kikubwa nilichokiona kwa huyo dada ni rangi ya nywele na hiyo aliyochora sasa najaribu kuvihusianisha na umalaya sipati jibu
Kila kitu huanzia rohoni, utulivu wa rohp ni umakini wa mwili.. Kuna watu wanaitwa wana vurugu za kimaono, hao hata tembea yao tu ni shida, hapo bado matendo, mavazi mazungumzo sauti nknkhii swali naomba tumpe Mshana Jr
ila kwangu mimi naweza sema "watu hutenda na kubehave vile wanavyovifikiria mostly of the time"
kama unawaza sana biashara iko siku utajishtukia umeanzia mojawapo na uta act as a business person
kama unawaza pombe utainywa tu
kama unawaza ngono there you go......
likewise to every things huwa unawaza itacreate desire........desire itacreate msukumo wakukifanya + behaviour etc
Angalia hiyo picha ya huyo mdada nambiye anawaza nini??
Siwezi kwa sababu sipendi muonekano huo na hata ningekuwa naupenda nisingekuwa malaya lakini pia naweza kuwa malaya kuliko huyo na twende kilioni zanguwewe waweza kupaka hivyo?