Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_0502.jpg
 
Ulioa lini mkuu? Unajutia nn kwenye ndoa mkuu?

Nilioa nikiwa kwenye early 20s na nimeishi kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka ishirini, kwenye ujana wangu niliyafanya sana hayo, kununua malaya, kutizama porn ila vilikuja kunizingua sana kwenye uhusiano wangu na mke, yaani kila tukifanya tendo inabidi nihamishe mawazo kwenye vitu nilivyokua natizama za porn au naanza kukumbuka malaya ambao walifurahisha kwenye kila aina ya fantasy, kila nikihamisha akili huko ndio ninaweza kutimiza majukumu yangu kwa mke.

Inakua kama viagra fulani hivi, bila kuhamisha hamisha mawazo huko shughuli haifanyiki. It's some kind of PTSD and I hate it. Sema tu haijatokea hata siku moja nikashindwa kucheza mechi, hata akitaka kila siku tunacheza tu, ila hilo la kuhamisha akili silipendi....
 
Back
Top Bottom