Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

image43.jpg
 
Madogo wamefeli physics kipimbi paaa hesabu ndo usiseme yaani vilaza ni wengi mwaka huu
elimu tu ya bongo haina thamani.....ni mwendo wa kukariri madesa
issue sijui za uvumbuzi kwa huku kwetu tusahau kabisa

kuna dogo Form 2 na 4 alitoka na Div I ya 7..........can you imagine hajui hata SI Unit ya vizio mbalimbali inatokea wapi eg.density,Force etc

Sasa watu wa muundo huu unategemea watamaliza shule wajiajiri?? wanachowaza wao hapo atapata kazi yenye cheo cheo basii
 
Back
Top Bottom