Kitomari xxiv
JF-Expert Member
- Sep 26, 2021
- 1,286
- 12,574
For fast furious fans
Chizi wewe stress za mikopo natolea huku [emoji1787][emoji1787]Nilishamuacha anawanawake kama utitiri[emoji41]
Naomba kazi, bosi mwenye ma Hardware yake [emoji2440]
Naona siku hizi umeajiri wa kutosha muda wote upo jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu uzi huu bhana hauna adabu wallah[emoji2440]
Bora udondoshe njiani. Watu mnaishi pamoja, mnacheka mnapiga stori halafu haohao wanakuzunguka wanakuibia inakera sanaAisee pesa inauma,
Kama kuna tineja mtukutu au mtu mwenye uraibu wa unga au pombe inaeleweka. Lakini kama ni familia wote mko wazima hakuna mwenye changamoto ya aina yo yote halafu mnaibiana siyo dalili nzuri kwa hiyo familia. Pole!Bora udondoshe njiani. Watu mnaishi pamoja, mnacheka mnapiga stori halafu haohao wanakuzunguka wanakuibia inakera sana
Niko kwa watu mwaya. AhsanteKama kuna tineja mtukutu au mtu mwenye uraibu wa unga au pombe inaeleweka. Lakini kama ni familia wote mko wazima hakuna mwenye changamoto ya aina yo yote halafu mnaibiana siyo dalili nzuri kwa hiyo familia. Pole!
Rudi Dar bana. Nimechoka kusubiri [emoji51]Niko kwa watu mwaya. Ahsante
Mimi nilichoka zaidi yako [emoji16]Rudi Dar bana. Nimechoka kusubiri [emoji51]
Jamaa alikuwaga mchoyo sana View attachment 2470627