Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,676
mwaka juzi kuna watoto walilipukiwa na bomu kagera walikuwa wakilichezea bila kujua ni bomu na inasemekana ni moja ya mabomu yaliyokuwa yamebaki aridhini baada ya vita.
Dah...mwaka juzi kuna watoto walilipukiwa na bomu kagera walikuwa wakilichezea bila kujua ni bomu na inasemekana ni moja ya mabomu yaliyokuwa yamebaki aridhini baada ya vita.
Passo zina mabawa siku hiziSasa huku kafikaje
Hiyo no 5 safiii