alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,721
- 6,074
Dah niazime blo takutoAHata sasa ninako kamoja. Aisee katamu hatari! Kakikumeng'enyulia unaipata yote kabisa yaani dah!
View attachment 2451607
Nimeona kipilipili vuzi kwa mbaaaaaali
Mmmh sio ,Shina moja mahindi 6, hindi moja Sh500, kwa ekari moja mashina 20,000, hivyo: 6*500*20,000 ni Sh60,000,000, ukiwa na ekari 10 ni Sh600,000,000. Kwa nini wakulima wanaendelea kuwa masikini?View attachment 2450588