McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,127
- 12,635
Huku kwema babu,Moto ungekuwakia.
Kwema lakini huko?
Nilikusuburi home kule hukutokea mbona mpaka leo?![]()
Oooooh eti,nakuja leo.Moto ungekuwakia.
Kwema lakini huko?
Nilikusuburi home kule hukutokea mbona mpaka leo?![]()
Unakufa wallahHapa na wewe unawezs ukafa na kuku wako🥹🥹

@Grahams kuna kikao cha wazee hukuHata sasa ninako kamoja. Aisee katamu hatari! Kakikumeng'enyulia unaipata yote kabisa yaani dah!
View attachment 2451607



Bomu lake hapo utajuta, utabaki meno nje...

hivi mtu mwenye picha hiyo ni mtu mmoja au kikundi cha watu? Maana komenti zake zinachekesha na kufikirisha sana. Anaitwa Xavier kama sikoseiwanatumia picha yake as MEMEhivi mtu mwenye picha hiyo ni mtu mmoja au kikundi cha watu? Maana komenti zake zinachekesha na kufikirisha sana. Anaitwa Xavier kama sikosei
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
picha yake inatumika na watu wengine kuandika hizo jokes, kama tu zinavyotumika picha za Mugabe na Iddi Amini kutengeneza quotes ambazo hata hawakusema waohivi mtu mwenye picha hiyo ni mtu mmoja au kikundi cha watu? Maana komenti zake zinachekesha na kufikirisha sana. Anaitwa Xavier kama sikosei
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ila mara nyingi huwa naona jina hilo nililotajawanatumia picha yake as MEME