Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

May be an image of 4 people, people playing sports and text
 
Neema Nyangige (19) Mkazi Kata ya Buswahili, Wilaya ya Butiama mkoani Mara amemlalamikia mme wake ambaye ni Bi. Wegesa Msheshe (75) aliyemuoa Nyumba Mbokhe (mwanamke kumuoa mwanamke) kumlazimisha kufanya mapenzi na vijana wake wanne au kurudisha mahari zote endapo akikaidi.

Neema amesema kuwa alipata mimba za utotoni jijini Mwanza hivyo hamjui baba wa mtoto na aliporudi kijijini akakuta wazazi wake wanadaiwa pesa kwenye kikundi, hivyo ikabidi wamuozeshe kwa bibi huyo ambaye alitoa mahari ya ng'ombe tano na mbuzi watatu.

Wazazi wangu waliuza mahari yangu ili kulipa madeni sasa huyu mme wangu (Bibi) pamoja na vijana wake wamekuwa wakinipiga mara kwa mara kisa nimekataa kuwakubalia kile wanachotaka, mpaka sasa nimefukuzwa na wameniambia nirudishe ng'ombe na mbuzi zote walizoniolea," amesema NeemaView attachment 2448276
Tamaduni zingine bana!!😡😡
 
Bibi Harusi alienda stationary aliomba achapiwe 1 Yohana 4:18 kwenye CARD YA HARUSI lakini mchapaji alifanya kosa kwa kutoweka "1" kabla ya Yohana hivyo akachapisha Yohana 4:18_

1 Yohana 4:18 inasema "Katika pendo hamna woga, bali pendo lililo kamili hufukuza hofu zote"_

Lakini Yohana 4:18 inasema "Kwa maana umekuwa na waume watano hapo awali, na huyu uliye naye sasa si mume wako"

Bado tuko mahali hapa kusuluhisha, bado tunamsihi Bwana Harusi kuwa kosa ni la mchapaji wa stationary siyo Bibi Haru
 
Back
Top Bottom