Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

JEURI YA PESA QATAR

974 Stadium imvunjwa rasmi baada ya kupigwa mechi 7 tu za kombe la Dunia 2022.

Ni uwanja wa kisasa uliojengwa kwa makontena 974 na kupewa jina hilo . Ulijengwa rasmi kwa mechi 7 tu na baada ya hapo umevunjwa na makontena hayo na vifaa vingine kutolewa msaada kwa nchi zinazoendelea .

Ni uwanja uliokuwa na uwezo wa kubeba watu 40,000 na ukiwa na thamani ya dola milioni 847 sawa na trilion 1.97 za kitanzania .
IMG-20221212-WA0045.jpg
 
Back
Top Bottom