Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,175
- 829,138
- Thread starter
- #134,921
JEURI YA PESA QATAR
974 Stadium imvunjwa rasmi baada ya kupigwa mechi 7 tu za kombe la Dunia 2022.
Ni uwanja wa kisasa uliojengwa kwa makontena 974 na kupewa jina hilo . Ulijengwa rasmi kwa mechi 7 tu na baada ya hapo umevunjwa na makontena hayo na vifaa vingine kutolewa msaada kwa nchi zinazoendelea .
Ni uwanja uliokuwa na uwezo wa kubeba watu 40,000 na ukiwa na thamani ya dola milioni 847 sawa na trilion 1.97 za kitanzania .
974 Stadium imvunjwa rasmi baada ya kupigwa mechi 7 tu za kombe la Dunia 2022.
Ni uwanja wa kisasa uliojengwa kwa makontena 974 na kupewa jina hilo . Ulijengwa rasmi kwa mechi 7 tu na baada ya hapo umevunjwa na makontena hayo na vifaa vingine kutolewa msaada kwa nchi zinazoendelea .
Ni uwanja uliokuwa na uwezo wa kubeba watu 40,000 na ukiwa na thamani ya dola milioni 847 sawa na trilion 1.97 za kitanzania .

