Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kakitu!
Screenshot_20221210-162639_WhatsApp.jpg
 
#HABARI Waziri wa Fedha @mwigulunchemba1 ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia EDCF kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano.
20221211_053451.jpg
20221211_053451.jpg
 
Alikuwa upande sahihi wa Historia. Haya mamikopo yatakuja kutuelemea tu. Trillions 30+ kwa mwaka mmoja is a lot of money na kibaya zaidi hazifanyi mambo ya kimaendeleo yakaonekana.

Mpaka 2030 sijui tutakuwa tumekopa kiasi gani kwa rate hii. Tuombe Mungu kikombe hiki kitupite vinginevyo tunakoelekea siyo kuzuri
IMG-20221211-WA0019.jpg
 
#HABARI Waziri wa Fedha @mwigulunchemba1 ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia EDCF kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano.View attachment 2442479View attachment 2442480
Alikuwa upande sahihi wa Historia. Haya mamikopo yatakuja kutuelemea tu. Trillions 30+ kwa mwaka mmoja is a lot of money na kibaya zaidi hazifanyi mambo ya kimaendeleo yakaonekana.

Mpaka 2030 sijui tutakuwa tumekopa kiasi gani kwa rate hii. Tuombe Mungu kikombe hiki kitupite vinginevyo tunakoelekea siyo kuzuri
View attachment 2442504
Kujenga Znz ndiyo kipaumbele chetu kwa sasa, fursa haziji mara nyingi!!!
 
Back
Top Bottom