Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Kakitu!
Mmmmh somalia


Benbat, hao ni wake za watu,
Huyu mbuzi atakuwa ndo katoka Kilingeni Msata. Si kwa kujiamini huku wallahi!
Alikuwa upande sahihi wa Historia. Haya mamikopo yatakuja kutuelemea tu. Trillions 30+ kwa mwaka mmoja is a lot of money na kibaya zaidi hazifanyi mambo ya kimaendeleo yakaonekana.



Wengine ni wanandoa tayari
#HABARI Waziri wa Fedha @mwigulunchemba1 ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia EDCF kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano.View attachment 2442479View attachment 2442480
Kujenga Znz ndiyo kipaumbele chetu kwa sasa, fursa haziji mara nyingi!!!Alikuwa upande sahihi wa Historia. Haya mamikopo yatakuja kutuelemea tu. Trillions 30+ kwa mwaka mmoja is a lot of money na kibaya zaidi hazifanyi mambo ya kimaendeleo yakaonekana.
Mpaka 2030 sijui tutakuwa tumekopa kiasi gani kwa rate hii. Tuombe Mungu kikombe hiki kitupite vinginevyo tunakoelekea siyo kuzuri
View attachment 2442504
Na bado kukopa kunaendelea..
Huo wote bei gani? Ni mashada au makushabu hayo?Nishamaliza kuandaa mzigo,ngoja niende zangu Beach nikawakeView attachment 2441959
Ma'mae nauli imeliwa kapige punyeto tu sasa
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana
Hahaha...