mamylove
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 1,090
- 1,783
Ndugu yangu kama wewe una mwanasheria wako sisi wengine hatunaMpe marks mchoraji.View attachment 2439859



Upo? Kwema huko Uyole?



Aya ndo yenyewe
Kama siyo mwelewa usije ukashangaa ukapata kesi.
Nani alinunua haya matunda wakati we najua hupendi matunda.
Nani alikusaidia kupanga hivi.
Kwa nini nimeondoka ndo umeamua kuwa romantic. Hii idea umepewa na nani?
Shauri yako!

shida ya wake zetu wa kiswahili utamfanyia hivyo akija wala hawi excited sana sana anaona umepoteza muda bureNi heri akakaa kimya aendelee kulamba zake asali mdo mdo kama hayupo kuliko kutaka kuongea ili kufurahisha watu!!Huyu mzee huyu au basi tu, Ila ni moja kati ya wazee wa ovyo sana![]()


