Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Fifa wanajuta, nadhani hawa jamaa hawatapata Tena nafasi ya kuandaa WC hadi wawe westernized.Hakuna raha tena huko
Jana nilimsikiliza mwanamama mmoja BBC alikuwa anaongelea safari ya chombo kilichoondoka juzi kwenda mwezini ili kikirudi wapeleke binadamu mwezini kwa Mara ya pili mwaka 2027,cheo chake ni NASA Advisor, kuna wanawake wapo vizuri sana
Kama ana haraka ya kumfuata Yesu ajitangulize tuThis is too much View attachment 2419855
,asitake kutuharibia

yaani lie stesheni inaendeshwa kizee dunia ya mwishoHuyo tena! Kesho mbali! Ndio yupo kwenye dressing table sasahivi
Wana kibali cha mechi 28 tu.


hii lazima itokee...wanaungana na ndugu zao wa DodomaDah jamani watoto wetu wa kike kweli watapona....aisee bora mtoto wangu wa kike nimkule mwenye lakini sio kwenda kuliwa kwa aftatu😭😭😭😭😭Mchemsho migodini....
View attachment 2420021