Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

9f1bf363458247cdaba6f2befde51595.jpg
 
Wezi wa Mifugo waliiba ng'ombe kwa Mmasai kisha wakamfunga Mmaasai Uchi kwenye Mti, huku mikono yake ikiwa imefungwa kwa kutundikwa juu usiku kucha..

Asubuhi Majirani wakamuona na kumpa pole huku wakijaribu kumfungua minyororo na kamba alizofungiwa. Mmasai akajibu:- sisikitikii Ng'ombe wangu kuibiwa, hapana, bali huyu Ndama waliyemuacha hapa.

Hapa nilivyofungwa siwezi hata kujigeuza wala kujitikisa. Sasa huyu ndama alikuja kuninyonya sana chakula ya mama yoyoo yangu usiku kucha akidhani ni chuchu ya ziwa la Mama yake.
Hapa nipo hoi kanipigisha mabao zaidi ya 10, sasa mwili wooote unavuta🙄
 
Back
Top Bottom