Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,424
- 18,453
Duh aiseeUpo kama mie tuu cha msingi nachojua ni kwamba sijaumwa malaria toka nina miaka minne mpaka sasa nina 42
Duh aiseeUpo kama mie tuu cha msingi nachojua ni kwamba sijaumwa malaria toka nina miaka minne mpaka sasa nina 42
Kitu kinarudi newUongo wapi we kitu chote kile dude linazama![]()
Kumbeee ila umeiona video au tunabishana kitoto kina kisima kama chote adi sio poa.Kitu kinarudi new
Natamani ningekuwa hiviBabe yupo gym
View attachment 2364090
Video gani tena jamani? Nini tena kinaendelea huku duniani?Kumbeee ila umeiona video au tunabishana kitoto kina kisima kama chote adi sio poa.
Aisee kumbe Mda ote hatuelewaniVideo gani tena jamani?
ile connectionAkikunyima njoo mi nakupeaView attachment 2364115
Tusione haya,twendeni tu
Connection ipi tena jamani,? Funguka basi chalii anguu. Nini kimetokea aiseeAisee kumbe Mda ote hatuelewaniile connection
Binti mmoja kachafuwa hali ya hewa huko mitandaonConnection ipi tena jamani,? Funguka basi chalii anguu. Nini kimetokea aisee
Hatari sana aisee, tuma kideo hapa nione amechafuaje?Binti mmoja kachafuwa hali ya hewa huko mitandaon
Nipeni connection hiyoAisee kumbe Mda ote hatuelewaniile connection