Utakapo toka Tu mangi atampa mchele na mafuta bureee.nyama atakopeshwa na John pale buchani muha atampa nyanya kitunguu karoti hoho! Ila jiandae kuchapiwaWw fanya jambo loloteView attachment 2363101
Yani ni kheri nisitumie iPhone kuliko kutumia X kushuka ChiniJitahidini wadau mkae hata kwenye X pale![]()


Kwamba X nayo ni hovyo tu, au? Maana nmeona inapokea ios 16 kama sikosei, so sio mbayaYani ni kheri nisitumie iPhone kuliko kutumia X kushuka Chini![]()

Bora asikuwe na pesa,maana baadhi wanatumia pesa zao kuwakula mashemeji hasa walo ombaombaKumbeee?!

Nimekupikia ugali njoo ukuleLong distance relationships![]()

Namba 3 mrija umezibwa kwa chini maji hayawezi kupenya. Kuwa makini Mkinga wangukwa hiyo nimekosa? Acha uhuni we msukuma nasubiri zawadi yangu






