Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,898
- 136,563
Kuna wavuvi walikuwa wanahojiwa kabla hata hili la makamu halijatokea
Wakakiri ni kweli wanatumia hayo maji,
Tena walisema yanasafirishwa kama maiti ndani ya jeneza,wanajaza kwenye vidumu.
Kuna wavuvi walikuwa wanahojiwa kabla hata hili la makamu halijatokea
Maisha ya mitandaoni.. Kauli kama hizi wangesema watu kama kina Elon, Bill gates, Jef.. Zingekuwa na mashiko sio hawa vimeo 🤠🤠🤠.. Au mzabzab unasemaje
Kwwli kabisa demu wako kama anakuoea mbussu basi unapaswa kumpatia mapesa tuu azidi kufurahi
Naona mawardat umetuwekea tako skonsi hapo
Unataka kumringanisha Fred na Elon ?Unataka kusema wakina fred vunja bei wafunge midomo yao![]()
Huwezi kujua labda fred anazo kumpita huyo jamaaUnataka kumringanisha Fred na Elon ?

Nimekaa pale niite mbwa hata kama anaifikia nukta ya mkwanja wa ElonHuwezi kujua labda fred anazo kumpita huyo jamaa![]()
Nimekaa pale niite mbwa hata kama anaifikia nukta ya mkwanja wa Elon




muoneinasemakana mpaka leo asubuhi huyu dada ameonekana bila ulinzi!